![]() |
Xperia Tab Z: Credit |
Na bado... jamaa wamefunika zaidi kwani hii kitu ni WaterProof and DustProof [according to :TheNextWeb] The Xperia Tablet Z runs on Android Jelly Bean 4.1.2. quad-core 1.5GHz processor and it comes with an 8.1mp camera, 2GB RAM, internal storage of 32GB.. WiFi, Bluetooth, 2G, 3G plus LTE (4G) display yake ni 10.1 inch..kubwa kuliko iPad.. pia uzito wake ni gram 495.
Sony hawajasema bei ya hii kitu bado... ni lini hasa itakua released to other parts of the world... the good news ni kwamba... hata ukiidondosha kwenye maji.. bado itapiga mzigo... Credit
No comments:
Post a Comment